Mtu mmoja Mwanamme anaekisiwa kuwa na umri wa miaka 52 amefariki dunia baada kuzama katika Ziwa la Jangamizini liliopo mpakani mwa shehia ya Mambosasa na Chunga Wilaya ya Magharibi B Unguja
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/09/IMG_7848-1024x683.jpg)
Daktari wa kitenge cha dharura cha Hospitali ya Mmnazi mmoja Asya Moh’d Suleiman amethibitisha kupokewa kwa mwili wa marehemu katika hospitali hiyo.
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/09/IMG_7847-1024x683.jpg)
Mjumbe wa Sheha wa Shehia Rehema Iddi Hassan ameeleza kuwa chanzo cha tukio hilo ni kuwa mtu huyo alikua akivuka katika Ziwa hilo na kuzama jambo lililopelekea kupoteza maisha
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/09/IMG_7825-1024x683.jpg)
Tukio hilo lilitokea majira ya saa Saba (7 ) mchana Mwili umeonekana saa 10:29 alasiri