
Yatumieni mafunzo kuleta mabadiliko ya kiutendaji – RAS
Wafanyakazi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi wametakiwa kuyatumia mafunzo wanayoyapata kazini kuleta mabadiliko chanya katika utendaji wa kazi zao. Agizo hilo limetolewa
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi , inayo furaha kukukaribisha katika tovuti hii. Tunatumaini utapata taarifa zetu mbali mbali, huduma, makala na mengi mengineyo yanayohusu shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ndani ya Mkoa Mjini Magharibi. Ni matumaini yangu kuwa kila atakayetembelea tovuti hii atahabarika, ataelimika na atafurahika. Tunafurahi sana kupata maoni na ushauri wa watembeleaji wa tovuti hii na tunathamini kila maoni tutakayoyapokea.
Kabla ya Mapinduzi ya mwaka 1964 Zanzibar iligaiwa jiografia katika maeneo makubwa matatu yaliyopewa hadhi ya Wilaya ambayo ni :-
Kutokana na hali hiyo Zanzibar baada ya Mapinduzi ikayapa maeneo hayo hadhi ya kuwa Mikoa, hivo kuifanya Zanzibar kugawika katika Mikoa mitatu, Mikoa miwili Unguja na mmoja Pemba. Pia Zanzibar iligaiwa katika mudiriat 10 ambapo kwa Unguja 06 na Pemba 04, kwa wakati huo eneo la Mkoa mjini mMagharibi likijuulikana kwa jina la Mkoa Mjini ambao umegaiwa katika mudiriat ya Mjini na mudiriat ya shamba, baadae mudiriat zikaitwa Wilaya na viongozi waliitwa Wakuu wa Wilaya (Area Commission) .
Katika miaka ya 1970, Zanzibar iligaiwa katika Mikoa 04 ikijumuisha:-
1. Mkoa Mjini Magharibi
2. Mkoa wa Kusini
3. Mkoa wa Kaskazini
4. Mkoa wa Pemba
Ambapo Mkoa Mjini Magharibi uligaiwa katika Wilaya ya Mjini na Magharibi. Mikoa yote ya Zanzibar ukiwemo Mkoa Mjini Magharibi ilikuwa chini ya Ofisi ya Rais, kuanzia wakati wa Mapinduzi hadi ilipoanzishwa Ofisi ya Waziri |Kiongozi kwa toleo la tarhe 03 May
1984 la mabadiliko ya Wizara na Idara zake. Ofisi za Mikoa ukiwemo Mkoa Mjini Magharibi miaka ya 2000 wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya tano Dk Salmin Amour Juma …….
Wafanyakazi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi wametakiwa kuyatumia mafunzo wanayoyapata kazini kuleta mabadiliko chanya katika utendaji wa kazi zao. Agizo hilo limetolewa
Mabingwa wa mpira wa miguu wa mashindano yanayoshindanisha timu za Wizara, Mashirika na Taasisi za Serikali timu ya Tawala imekabidhiwa rasmi kombe la mashindano hayo.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepongezwa kwa usimamizi mzuri wa fedha za UVIKO 19 zilizototumika kwa ujenzi wa miradi ya maendeleo kwa sekta mbali mbali.
Mkoa Mjini Magharibi
Vuga, Zanzibar
Barua Pepe: info@mjinimagharibi.go.tz
Simu:+255) 777 002 771/ (+225) 629 108 485