Ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B Hamida Mussa Khamis katika maeneo mbali mbali ya wilaya ya Magharibi B yalioathirika na mvua zilizoambatana na upepo.
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-24-at-2.31.50-AM-1024x683.jpeg)
Katika ziara hiyo aliongozana na Katibu tawala Wilaya ya Magharibi B , Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Magharibi B Khadija Said Simai pamoja na watendaji mbali mbali wa wilaya ya magharibi B.
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-24-at-2.31.52-AM-1024x576.jpeg)
Maeneo aliyotembelea ni pamoja na Tombondo , Shakani ,Dimani , Pamoja na Mambosasa Jangamizini
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-24-at-2.31.49-AM-1024x683.jpeg)
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-24-at-2.31.50-AM-1-1024x683.jpeg)
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/01/WhatsApp-Image-2022-01-24-at-2.31.51-AM-1024x683.jpeg)