Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar Mahmoud Mohammed Mussa amefungua kongamano la kupinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia katika jamii.
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/11/WhatsApp-Image-2022-11-30-at-12.46.00-2.jpeg)
Akihutubia wakati akifungua kongamano hilo amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi inapinga vikali vitendo vya unyanyasaji vinavyofanyika katika jamii.
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/11/WhatsApp-Image-2022-11-30-at-12.46.00-3.jpeg)
Amesema Serikali imedhamiria kutunga Sheria kali dhidi ya watu watakaofanya vitendo hivyo vya unyanyasaji wa kijinsia.
![](http://mjinimagharibi.go.tz/wp-content/uploads/2022/11/WhatsApp-Image-2022-11-30-at-12.46.00.jpeg)