RC Kitwana apiga marufuku biashara, kuegesha vyombo vya moto njia za watembea kwa miguu.
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa amepiga marufuku kufanya biashara na kuegesha vyombo vya moto katika njia za watembea kwa miguu pembezoni mwa
Makamo wa Pili wa Rais aendelea na ziara yake Mkoa Mjini Magharibi.
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameendelea na ziara yake ya kukagua ujenzi wa miradi ya maendeleo katika Mkoa Mjini
Shukeni kwa Wananchi kuwapa elimu- RC Kitwana
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa ameiomba Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kushuka kwa wananchi kuwapatia elimu kuhusu masuala hayo.
Wakandarasi wanaojenga Skuli waagizwa kuongeza kasi ya ujenzi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amewaagiza wakandarasi waliokabidhiwa kazi ya ujenzi wa Skuli saba za horofa katika Mkoa Mjini Magharibi
Mkoa waahidi kufuatilia utekelezaji Mradi wa UNFPA
Uongozi wa Mkoa Mjini Magharibi umesema kwamba utafuatilia kwa karibu utekelezaji wa mradi wa “Chaguo langu Haki Yangu” unaofadhiliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa
Endeleeni kusaidia ulinzi na usalama kwenye jamii: RC Kitwana
Wito umetolewa kwa Askari Polisi wastaafu kuendelea kutoa mchango wao katika suala zima la ulinzi na usalama ndani ya jamii. Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi
RC awapongeza Viongozi Jimbo la Mfenesini
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa amewapongeza viongozi wa Jimbo la Mfenesini kwa kuiunga mkono Serikali katika kuwataletea maendeleo wananchi. Pongezi hizo amezitoa
Zingatieni taaluma katika kutekeleza majukumu yenu: RC Kitwana
Jeshi la Polisi limekumbushwa kuzingatia mafunzo na taaluma wanayopatiwa wakati wakitekeleza majukumu yao kwa wananchi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrissa
CCM Mkoa wa Manyara wampongeza Dkt. Hussein Mwinyi
Uongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Manyara umempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Wajulisheni wananchi maendeleo yanayoletwa na Serikali: RAS
Uongozi wa Mkoa Mjini Magharibi umeelezea azma yake ya kuwapatia mafunzo na vitendea kazi Maofisa Habari na Uhusiano katika Mkoa huo, Wilaya na Mabaraza ya