Mkoa waahidi kumpa mashirikiano Katibu Mkuu UWT
Uongozi wa Mkoa Mjini Magharibi umeahidi kumpa mashirikiano ya kutosha Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT), ili aweze kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake
Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa Mkoa Kaskazini Unguja
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa amekabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Rashid Hadid Rashid baada ya kukamilisha mbio
Nendeni kwa wananchi kuelimisha umuhimu wa lishe: Godfrey
Wataalamu wa lishe kutoka Wizara ya afya wametakiwa kutoka ofisini na kwenda kuzungumza na wananchi katika maeneo yao juu ya suala zima la lishe bora.
Wakandarasi watakiwa kuzingatia viwango katika ujenzi wa miradi
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 Godfrey Eliakimu Mnzava amewataka wakandarasi wanaojenga miradi ya maendeleo kuzingatia kiwango katika ujenzi wa miradi hiyo. Amewasisitiza
Mwenge wa Uhuru waingia Mkoa Mjini Magharibi
Mwenge wa Uhuru umeanza mbio zake katika Mkoa Mjini Magharibi ukitokea Mkoa wa Kaskazini Pemba. Shughuli ya makabidhiano imefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Abeid
Walimu wakuu watakiwa kuhakikisha matokeo mazuri mtihani kidatu cha sita 2024
Walimu Wakuu wa Skuli za Sekondari za Mkoa Mjini Magharibi wametakiwa kuhakikisha wanafunzi wa kidatu cha sita wanafaulu vizuri katika mitihani yao ya taifa wanayotarajia
Dkt.Mwinyi awanasihi wafanyabiashara kutopandisha bei za vyakula.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Ali Mwinyi leo Jumatatu tarehe 26-2-2024 amefanya ziara maalum kutembelea masoko mbali mbali na
RC Kitwana afanya ziara miradi ya ujenzi wa masoko
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa amewataka wakandarasi wanaojenga Soko la Chuini, Jumbi na Mwanakwerekwe kuongeza kasi ya ujenzi ili kuhakikisha miradi hiyo
RC Kitwana afanya mazungumzo na Bishop Shayo
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amesema Serikali itahakikisha wananchi wa Mkoa huo wanaendea kuishi pamoja licha ya tofauti zao za imani
RC Kitwana alitaka Jeshi la Polisi kufanya kazi kwa uweledi na uwadilifu
Mkuu wa mkoa wa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa amewataka wapiganaji wa Jeshi la Polisi mkoani humo kufanya kazi kwa uweledi na uwadilifu mkubwa ili