Mpango wa kudhibiti Malaria 2023 – 2028 waanza
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa amesema mashirikiano ya wadau mbali mbali ni muhimu katika kufanikisha mpango wa miaka mitano wa kutokomeza malaria
RC azitaka Wizara kuushirikisha Mkoa katika ujenzi wa miradi
Serikali ya Mkoa Mjini Magharibi umezitaka Wizara mbali mbali kuushirikisha kikamilifu Mkoa huo katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Kauli hiyo imetolewa na uongozi wa
Watendaji Manispaa watakiwa kubadilika
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi idrissa Kitwana Mustafa amewataka watendaji na wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Mjini kubadilika katika utendaji wa kazi zao. Amesema baadhi
Tutazishughulikia changamoto za Skuli – RAS
Uongozi wa Mkoa Mjini Magharibi umeahidi kuwa utachukuwa hatua za haraka kukaa pamoja na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ili kuweza kuzipatia ufumbuzi
Wafanyakazi wa Umma watakiwa kutoa mashirikiano kwa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar
Wafanyakazi wa umma wametakiwa kutoa mashirikiano yao kwa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF), ili mfuko huo uweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Ushauri
“Zanzibar Taka Ziro Inawezekana” Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar
Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe Mahmoud Muhammed Mussa amesema Baraza la Jiji la Zanzibar kwa kushirikiana na Taasisi zinazoshughulika na masuala ya Usafi
“Dira ya Maendeleo 2025-2050 ikidhi mahitaji ya Taifa”- RC Kitwana
Imeelezwa kuwa ushirikishwaji mpana wa wadau mbali mbali katika maandalizi ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025-2050 utawezesha kupata Dira jumuishi yenye kukidhi
RC Kitwana azindua Kampeni ya Kata Bima bila Shuruti
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amezindua Kampeni ya “Kata Bima Bila Shuruti” yenye lengo la kukakikisha vyombo vyote vya moto vinavyotembea
Bilioni 40 kutumika kwa ujenzi wa Skuli
Zaidi ya shilingi bilioni arubaini zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa Skuli saba za horofa zinazoendelea kujengwa maeneo mbali mbali katika Mkoa Mjini Magharibi.
Vikosi vya SMZ vyatakiwa kuongeza kasi ujenzi wa Masoko
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hemed Suleimn Abdalla ameviagiza Vikosi vya SMZ vilivyokabidhiwa kazi ya ujenzi wa masoko