ACP Richard afichua Wahalifu na kukamata Bastola
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Ndugu Khelef Khamis Abeid mwenye umri wa miaka kumi na nane (18) Mkaazi wa Bububu kwa kupatikana
RC Kitwana azifuga Baa ya Chamswa na New What app
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa Mkoa huo Mheshimiwa Idrissa Kitwana Mustafa amezifunga Baa mbili zilizopo
Dr. Mwinyi awataka mabalozi kuitangaza Zanzibar na fursa za Kiuchumi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewataka Waheshimiwa Mabalozi walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Maafisa Utumishi simamieni nidhamu kazini – RAS Mohamed
Maafisa Utumishi Mkoa wa Mjini Magharibi wametakiwa kusimamia vyema majukumu yao ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa kazi na kudumisha nidhamu kwa wafanyakazi wao. Akizungumza
MIradi ya Elimu yanufaisha Mkoa Mjini Magharibi – RC Kitwana
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mheshimiwa Idrissa Kitwana Mustafa imeipongeza Benki ya Dunia kwa mashirikiano makubwa na Misaada mbali mbali ya miradi ya maendele inayoipatia
Mbinu mpya za usimamizi fedha ni kiini cha uwajibikaji – RC Kitwana
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Idrissa Kitwana Mustafa amewataka watendani wa mashirika ya Umma na taasisi za kifedha kuwa na mbinu bora za
Kitwana awahimiza madereva wa bodaboda kuvaa sare.
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amewahimiza madereva wa Boda boda kuhakikisha wanavaa sare na beji zitakazowatambulisha ili watumiaji wa usafiri huo
Utulivu wa kisiasa watumika kuleta maendeleo: RC Kitwana
Uongozi wa Mkoa Mjini Magharibi umesema kuwa Serikali imekuwa ikiutumia utulivu wa kisiasa uliopo nchini kuwalelea maendeleo wananchi wake. Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.
Udhalilishaji unaathiri maisha ya watoto
Afisa Ustawi wa jamii Mkoa wa Mjini Magharibi Bi Ramla Machano Haji amewataka Wazazi, Walimu na Walezi kuhakikisha kuwa wanasimamia vyema mienendo ya watoto hatua
APRM yashauriwa kushuka kwa wananchi
Taasisi ya Mpango wa Hiari wa Nchi za Afrika Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora APRM imeshauriwa kushuka kwa wananchi kwa ajili ya kutoa elimu